iqna

IQNA

IQNA – Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq una nafasi ya kipekee katika mioyo ya watu wote.
Habari ID: 3480907    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/06

IQNA-Tume huru ya Umoja wa Mataifa imeutuhumu utawala wa Israel kwa kufanya mauaji ya halaiki kwa kuwashambulia raia wa Kipalestina wanaohifadhiwa katika shule na maeneo ya kidini huko Gaza.
Habari ID: 3480822    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/11

IQNA – Umoja wa Mataifa umetangaza kumteua mwanadiplomasia mkongwe wa Hispania, Miguel Angel Moratinos Cuyaubé, kuwa mjumbe maalum atakayeongoza juhudi za kushughulikia chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia), ofisi ya msemaji wa UN ilitangaza Jumatano.
Habari ID: 3480660    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/09

IQNA – Uturuki imeutaka Umoja wa Mataifa (UM) kuteua mjumbe maalum wa kupambana na chuki dhidi ya Uislamu au Islamofobia, ikisisitiza haja inayoongezeka ya kukabiliana na kauli na vitendo vya chuki na ubaguzi dhidi ya Waislamu.
Habari ID: 3480264    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/25

Rais wa Iran
IQNA - Rais wa Iran Masoud Pezeshkian amesema haikubaliki kwa wafuasi wa dini za Mwenyezi Mungu kubaki kutojali ukandamizaji na mateso ya wanadamu ambayo yameenea duniani kote.
Habari ID: 3479488    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/25

Kadhia ya Palestina
Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) imetangaza kwamba kuendelea kuwepo kwa utawala wa Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ni kinyume cha sheria na kunapaswa kukomeshwa "haraka iwezekanavyo."
Habari ID: 3479152    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/20

Kadhia ya Palestina
IQNA-Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa -UNGA limepitisha azimio la kuongezea taifa la Palestina haki ndani ya Baraza hilo, sawa na nchi nyingine 193 wanachama. Pamoja na hayo Palestina bado haitakuwa na haki ya kupiga kura ndani ya chombo hicho cha ngazi ya juu cha maamuzi cha Umoja wa Mataifa.
Habari ID: 3478803    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/11

Jinai za Israel
IQNA: Wakati kukiwa na ongezeko la wito wa kimataifa kwa Israel kujizuia na mashambulizi zaidi Gaza na ripoti za Mei Mosi za mashambulizi mengine mabaya, wahudumu wa kibinadamu wa Umoja wa Mataifa wamesisitiza kuhusu athari mbaya zinazoendelea za vita hiyo na haja ya kuhakikisha njia za kuaminika za usambazaji wa misaada kwa watu wanaohitaji kwa udi na uvumba zinapatikana.
Habari ID: 3478756    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/02

Jinai za Israel
IQNA-Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limeonya kwamba mashambulizi ya utawala haramu wa Israel dhidi ya mji wa mpakani wa Rafah wenye msongamano mkubwa wa watu Gaza yatakuwa "kichocheo cha maafa."
Habari ID: 3478326    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/09

Dunia yaunga mkono Palestina
IQNA-Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limeidhinishwa kwa wingi wa kura azimio linatoa wito wa kusitishwa mapigano mara moja huko Gaza kwa sababu za kibinadamu.
Habari ID: 3478027    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/13

Jinai za Israel dhidi ya Wapalestina Gaza
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametumia ibara ya 99 ya Hati ya Umoja wa Mataifa, ambayo ni nadra sana kutumiwa na Katibu Mkuu wa umoja huo, kulitolea wito mzito Baraza la Usalama wa "kushinikiza kuepusha janga la kibinadamu" katika Ukanda wa Gaza na kuungana katika kutoa wito wa kusitishwa kikamilifu mapigano kati ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Harakati ya Mapambano (Muqawama) ya Kiislamu ya Palestina HAMAS.
Habari ID: 3477999    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/07

Diplomasia
TEHRAN (IQNA)- Uzembe wa Umoja wa Mataifa na hasa mkwamo katika Baraza la Usalama la umoja huo ambao una jukumu muhimu la kulinda amani na usalama wa kimataifa, kuhusu vita vya Gaza, jinai za kivita na mauaji ya kimbari ya Wapalestina yanayofanywa na utawala wa Kizayuni, umekosolewa vikali kimataifa.
Habari ID: 3477904    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/17

Chuki dhidi ya Uislamu
NEW YORK (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesikitishwa na kuongezeka vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu na pia kile alichokitaja kuwa ni 'chuki dhidi ya Uyahudi'.
Habari ID: 3477865    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/09

Kimbunga cha Al Aqsa
TEHRAN (IQNA)- Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepasisha rasimu ya azimio lililopendekezwa na nchi za Kiarabu na kutaka kutekelezwa usitishaji vita wa kibinadamu haraka iwezekanavyo huko Ghaza.
Habari ID: 3477803    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/28

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
NEW YORK (IQNA) – Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa jana Jumanne lilipitisha azimio la kulaani aina zote za kuvunjiwa heshima vitabu vitakatifu likitambua vitendo vya aina hiyo kuwa ni ukiukaji wa sheria za kimataifa.
Habari ID: 3477341    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/26

Umoja wa Mataifa
TEHRAN (IQNA)- Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekosoa uenezaji hofu juu ya Uislamu na chuki za aina mbalimbali dhidi ya Uislamu na Waislamu duniani.
Habari ID: 3476699    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/13

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Kibinadamu ametoa tahadhari kutokana na wito wa waziri wa utawala wa Israel ambaye ametaka kuangamizwa kwa kijiji kizima cha Wapalestina.
Habari ID: 3476657    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/04

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mwakilishi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa amelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, Baraza Kuu na nchi zote duniani, kutekeleza wajibu wao wa kimataifa wa kisheria, kiutu na kimaadili ili kuwatetea watu wasio na ulinzi wa Palestina na katika mkabala wa uvamizi na hujuma za utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3476645    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/02

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, kwa kupitisha azimio, limetaka maoni ya ushauri ya Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) kuhusu namna utawala ghasibu wa Israel unavyokiuka haki ya Wapalestina ya kujitawala na kujiainishia hatima yao na utawala.
Habari ID: 3476338    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/01

Mazungumzo baina ya dini
TEHRAN (IQNA) - Mjumbe wa Umoja wa Mataifa amesema amepata mvuto wa kipekee wa kiroho alipokuwa akitembelea Haram (kaburi) takatifu ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq.
Habari ID: 3476293    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/23